Benzema, Neymar mambo safi, Ramos nje UCL

(Karim Benzema wa Madrid na Sergo Ramos wa PSG kwenye picha ndogo)

Hatua ya 16 bora ya michuano ya klabu bingwa Barani Ulaya inataraji kuanza kuchezwa usiku wa leo Februari 15, 2022 kwa michezo miwili ambapo Real Madrid itacheza ugenini dhidi ya PSG huku Sporting Lisbon itakuwa wenyeji wa Manchester City michezo yote saa 5:00 usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS