Davies kitasa kipya, Liverpool

Ben Davies anatarajia kujiunga na Liverpool kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa leo usiku

Liverpool wamejipanga kukamilisha usajili wa beki wa kati Ben Davies kutoka Preston North End, kabla ya dirisha dogo kufungwa leo usiku, mabingwa hao wa England wanakabiliwa na majeruhi kwa mabeki wao wa kati. Usajili wa beki huyu utaigharimu Liverpool zaidi ya bilioni 6 za kitanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS