Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, amesema kuwa sasa hivi suala la uchaguzi limekwisha na kilichopo kwa sasa ni kujenga na kutengeneza maendeleo ya Taifa hilo.