JPM aeleza ndoa ya mteule wake ilivyotaka kuvunjwa

Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, kulia ni Mary Makondo Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameeleza ni kwa namna gani ndoa ya aliyekuwa Kamishna wa Ardhi Mary Makondo, ilivyotaka kuingia mashakani kutokana na watu wengi kumchukia, sababu ya misimamo yake aliyokuwa nayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS