JPM aeleza ndoa ya mteule wake ilivyotaka kuvunjwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameeleza ni kwa namna gani ndoa ya aliyekuwa Kamishna wa Ardhi Mary Makondo, ilivyotaka kuingia mashakani kutokana na watu wengi kumchukia, sababu ya misimamo yake aliyokuwa nayo.