Mwakyembe awaombea Serengeti Boys kwa Everton

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Harrison Mwakyembe amesema ataviomba vilabu vingine vya nje viwachukue wachezaji wa timu ya taifa ya wenye umri chini ya miaka 17 wakapate uzoefu na kukuza vipaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS