Simba yachakazwa kwenye mashamba ya miwa

Kagera Suga wakishangilia bao, wa kwanza kulia na Mbaraka Yusuph, mfungaji wa bao la kwanza

Wachezaji wawili ambao wamewahi kuitumikia Simba SC, wametosha kuipa ushindi wa mabao 2-1 Kagera Sugar na kuwazamisha mabosi wao wa zamani katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliopigwa leo katika dimba la Kaitaba, Mjini Bukoba

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS