TAFFA yaishauri serikali kuchukua hatua.

Chama wa Mawakala wa Forodha nchini Tanzania TAFFA kimesema tishio linalotokana na kupungua kwa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari mbali mbali nchini hivi sasa lipo dhahiri na kwamba kuna haja ya serikali kutodharau tishio hilo na badala yake ichukue hatua za haraka kutokana na madhara ya tishio hilo kwa uchumi wa nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS