Nape amng'oa katibu mkuu wa BMT katika nafasi yake

Mh. Nape Nauye (katikati) akiwa na Katibu Mkuu wa BMT Henry Lihaya (kushoto kwake) na Mwenyekiti wa BMT Deoniz Malinzi (wapili kutoka kulia)

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo Mh. Nape Nnauye hii ametembelea Baraza la Michezo Tanzania (BMT) kujua namna ya utendaji wa baraza hilo unavyokwenda pamoja na changamoto zinazowakabili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS