Serikali yakusanya bilioni 1 kupitia bandari

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amesema tangu serikali ya awamu ya tano ianze kusimamia upatikanaji wa mapato bandarini imefanikiwa kukusanya shilingi bilion 1.9.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS