Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amesema tangu serikali ya awamu ya tano ianze kusimamia upatikanaji wa mapato bandarini imefanikiwa kukusanya shilingi bilion 1.9.