"Tushirikiane kupunguza mauaji"- RC Chalamila

Mkuu wa mkoa wa Kagera Albert Chalamila

Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Kagera imeanzisha programu maalum katika kata zote 192 ili kutoa elimu kwa kushirikiana na wadau wengine ikiwamo taasisi za kidini, lengo likiwa ni kupunguza mauaji yanayoendelea kutokea na kusababisha kuwapoteza wananchi wasio na hatia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS