Askofu Mokiwa aonya tatizo la ukosefu wa ajira

Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Valentino Mokiwa.

Aliyekuwa mkuu wa Kanisa la Anglikana nchini Tanzania, Askofu Valentino Mokiwa, ameonya juu ya kuongezeka kwa tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana, ambapo amefananisha tatizo hilo kuwa ni sawa na bomu linalosubiri kufyatuka wakati wowote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS