RC Malima atoa maagizo MWAUWASA mradi wa maji

Mkuu wa mkoa  wa Mwanza Adam Malima ameiagiza  mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira MWAUWASA kumpelekea ripoti kwanini ujenzi chanzo cha maji kilichowekwa jiwe la msingi na makamu wa Rais Dkt Phillip Mpango umeshindwa kukamilika kwa wakati

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS