Simba SC kuongozwa na Rais

Katibu mkuu wa Simba SC Ezekiel Kamwaga

Klabu ya Simba imekabidhi marekebisho ya katiba yake ambayo yamepitisha kipengele kinachofuta nafasi ya Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti na kuruhusu kiongozi wa juu wa klabu hiyo aitwe Rais na Makamu wa Rais.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS