Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 5
Ninaishi MBAGALA KONGOWE na WAZAZI WANGU
Mtaani kwangu najulikana kwa KUDANCE
Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA NNE
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni HAKUNA ZAIDI YA MZIKI
Mafanikio katika Fani:
HAKUNA
Year: