Nimezaliwa mwaka 1992 Wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 4 katika famili ya watoto 4 Nina kaka 2 na dada 1
Ninaishi MBAGALA KUU na NDUGU ZANGU
Mtaani kwangu najulikana kwa UCHESHI NA UKALIMU
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA (7)
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: SINA ZAIDI YA KUDANSI
Mafanikio katika Fani:
Kiukweli sijapata Mafanikio Bado kaitka Dance ndo kwanza Naanza.
Year: