Nimezaliwa mwaka 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 2 katika familia ya watoto 2 Nina kaka 1 na dada -
Ninaishi MIMI na MAMA
Mtaani kwangu najulikan akwa UKALIMU NA UCHESHI
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni KULA
Mafanikio katika Fani:
Kiukweli Mafanikio sijapata yoyote
Year: