Nimezaliwa mwaka 1992 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa MWISHO katika familia ya watoto 5 Nina kaka 4 na dada 1
Ninaishi MIMI PAMOJA na FAMILIA YANGU
Mimi nimesoma mapaka KIDATO CHA NNE
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: KUMSAIDIA MAMA YANGU KAZI ZA NYUMBANI
Mafanikio katika Fani:
Dance ndo maisha yangu sasa sina budi kusema inanisaidia mpaka leo hii najitegemea mwenyewe kiume kupitia kazi yangu ninayoifanya.
Year: