Nimezaliwa mwaka 1996 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 4 Nina
Ninaishi TEMEKE na MAMA
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA 7
Shughuli zangu za kila (zaidi ya kucheza dansi) ni: KUIGIZA
Mafanikio katika Fani:
Sijapata bado Ila Mungu akipenda nitafanikiwa
Year: