Nimezaliwa 1991 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 3, Nina kaka 1 na dada 1
Ninaishi na BABA na MAMA
Mtaani kwangu najulikana KWA JINA LA HANS POP
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA (7)
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: MFANYABIASHARA
Mafanikio katika Fani:
Nimetambulika sana katika jamii na imeniwezesha kufanya kazi sehemu nyingi
Year: