Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DARE ES SALAAM.
Mimi ni mtoto wa 2 katika familia ya watoto 5 Nina KAKA na DADA
Ninaishi na MAMA na BABA
Mtaani kwangu najulikana kwa JINA LA TOFFY
Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA NNE (4).
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: MWALIMU WA DANCE.
Mafanikio katika Fani:
Nipo pazuri kwakua nimenunua nyumba
Year: