Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya TEMEKE mkoa wa DAR ES SALAAM,
Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 5 Nina kaka 1 na dada 1,
Ninaishi na BABA na MAMA
Mtaani kwangu najulikana kwa NAX NAX
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA (7)
Shughuri zangu za kila siku 9Zaidi ya kudansi) ni:- FUNDI SEREMALA
Mafanikio katika Fani:
Nimeoa na nia Biashara inayoendesha maisha yangu katika familia.
Year: