Nimezaliwa 1991 wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 2 katika familia ya watoto 2 Nina kaka NO na dad YES
Ninaishi KEKO MAGAMBASI
Mtaani kwangu najulikana kwa KWA MJUMBE
Mimi nimesoma mpaka KIDATO CHA NNE
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: BIASHARA
Mafanikio katika Fani:
Baado sijapata mafanikio katika kucheza kwangu
Year: