Nimezaliwa mwaka 1996 wilaya ya TEMEKE Mkoa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 3 nina kaka SINA na dada NDIO
Ninaishi MAMA na DADA
Mtaani kwangu najulikana kwa DANSI
Mimi nimesoma mpaka FORM 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi yakucheza dansi) ni: SINA ZAIDI YA DANSI
Mafanikio katika Fani:
Mafanikio yangu katika fani ni kuitangaza Dansi iwe kama kazi nyengine pili kujitangaza mwenyewe katika maisha yangu, tatu kuliendeleza kundi langu liwe kama makundi ya wenzetu hapa nchini na nje ya nchi.
Year: