Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 2 katika familia ya watoto 5 Nina kaka 1 na dada 2
Ninaishi KIGOGO YA KATI na FAMILIA
Mtaani kwangu najulikana kwa TERANO
Mimi nimesoma mpaka DARSA LA SABA
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: DANCER
Mafanikio katika Fani:
Kusaidia familia yangu Kiuchumi
Year: