Nimezaliwa 1992 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 5 Nina KAKA 1 na DADA 3.
ninaishi TEGETA na WAZAZI
Mtaani kwangu najulikana kwa KUDANSI
Mimi nimesoma mpaka FORM 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: BIASHARA NDOGO NDOGO
Mafanikio katika Fani:
Nimefanikiwa kupiga show mikoani na kujiendeleza na biashara.
Year: