Nimezaliwa mwaka 1986 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 6 Nina kaka 3 na dada 2
Ninaishi TEGETA na WAZAZI
Mtaani kwangu najulikana kwa DOGO MALOW
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA (7)
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: MPIRA
Mafanikio katika Fani:
Najiendeleza na Maisha kupitia Fani yangu.
Year: