Nimezaliwa mwaka 1997 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 5 katika familia ya watoto 7 Nina kaka 1 na dada 4
Ninaishi na WAZAZI WANGU WOTE WAWILI
Mtaani kwangu najulikana kwa MASE / MCHINA
Mimi nimesoma mpaka FORM 3 NA BADO NAENDELEA
Shughuliz angu za kila siku(zaidi ya kucheza dansi) ni: NAFANYA KAZI ZA NYUMBANI
Mafanikio katika Fani:
Bado sijapata ila ina nia ya kupata Mafanikio
Year: