Nimezaliwa mwaka 1998 Wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 2 katika famili ya watoto 4 Nina kaka 1
Ninaishi MAMA na BABA
Mtaani kwangu najulikana kwa DADI
Mimi nimesoma mpaka 7
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: KUCHEZA MPIRA
Mafanikio katika Fani:
Sina mafanikio ila nalengo la kupata mafanikio
Year: