MUSTAPHA YAKHAYA
Jina La Utani:
VIVA
Jina La Kikundi:
Mchango Katika Kundi:
KUSIMAMIA MAZOEZI YA VIUNGO

Nimezaliwa mwaka 1995 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM

Mimi ni mtoto wa 6 katika familia ya watoto 6 Nina Kaka 3 na dada 2

Ninaishi MABIBO na FAMILIA

Mtaani kwangu najulikana kwa VIVA

Mimi nimesoma mpaka DARASA LA (7) SABA.

Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: DANCER

 

Mafanikio katika Fani: 
KUFIKA MBALI ZAIDI
Year: