Nimezaliwa mwaka 1995 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 6 katika familia ya watoto 6 Nina Kaka 3 na dada 2
Ninaishi MABIBO na FAMILIA
Mtaani kwangu najulikana kwa VIVA
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA (7) SABA.
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: DANCER
Mafanikio katika Fani:
KUFIKA MBALI ZAIDI
Year: