Nimezaliwa maka 1992 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 2 Nina kaka 2 na dada 1
Ninaishi MIMI na FAMILIA
Mtaani kwangu najulikana kwa CHILLA
Mimi nimesoma mpaka FORM 4
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni: NACHEZESHA PLAYSTATION 2
Mafanikio katika Fani:
Dncer imenifanya nijitegemee katika maisha yangu imenifanya nisaidie familia yangu< pia imenifanya nijulikane sehemu mbalimbali na nimefika sehemu tofauti na kuwa na mashabiki na kuthamini familia.
Year: