Nimezaliwa mwaka 1991 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 5 kaitka familia ya watoto 7 nina kaka 4 na dad 1
Ninaishi MAMA na NDUGU ZANGU WENGINE
Mtaani kwangu najulikana kwa KuDANCE
Mimi nimesoma mpaka FORM 3
Shughuli zangun za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: KUCHEZA MPIRA
Mafanikio katika Fani:
Kujulikana kiasi fulani
Year: