Nimezaliwa 1991 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM.
Mimi ni mtoto wa 3 katika familia ya watoto 5 Nina KAKA 1 na DADA 1.
Ninaishi na DADA na KAKA
Mtaani kwangu najulikana kwa jina la MKALI ROJA
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA ( 7 )
Shughuli zangu za kila siku ( zaidi ya kucheza dansi ) ni : BIASHARA
Mafanikio katika Fani:
Kuwa na kundi bora na kulifikisha pazuri INSHAALLAH.
Year: