Nimezaliwa mwaka 1992 wilaya ya KIBAHA Mkoa wa PWANI
Mimi ni mtoto wa 4 katika familia ya watoto 10 Nina kaka 1 na dada 2
Ninaishi KWETU na WAZAZI WANGU
Mtaani kwangu najulikana kwa T- WARA WARA
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA ( 7 )
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: KAZI NDOGO NDOGO ZA KUNIINGIZIA KIPATO.
Mafanikio katika Fani:
Naendesha kazi zangu kupitia fani yangu ya kudance
Year: