Nimezaliwa Mwaka 1992 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 2
Ninaishi MAMA na BABA
Mtaani kwangu najulikana kwa KUDANSI
Mimi nimesoma mpaka DARASA LA SABA (7)
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) KINYOZI
Mafanikio katika Fani:
Najitegemea mwenyewe Kupitia Music ninaofanya pia kujua Dansi tofauti
Year: