Nimezaliwaq mwaka 1994 wilaya ya TEMEKE Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni toto wa 7 katika familia ya watoto 8 Nina kaka MDOGO na dada SAMIA
Ninaishi YOMBO VITUKO na BABA na MAMA
Mtaani kwangu najulikana kwa YOHANA
Mimi nimesoma mpaka 7
Shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kucheza dansi) ni KUIGIZA
Mafanikio katika Fani:
Sijapata mafanikio yoyote ila nina kimafanikio katika dance yangu kua nitakua mmoja katika wao MUNGU YU[PO Amina
Year: