Nimezaliwa 1996 wilaya ya KINONDONI Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 1 katika familia ya watoto 3
Ninaishi MWENGE T.R.A na MJOMBA
Mtaani kwangu najulikana kwa UCHESHI NA KUWA NA MAWASILIANO NA KILA MTU
Mimi nimesoma mpka KIDATO CHA TATU
shughuli zangu za kila siku (zaidi ya kudansi) ni: KUIMBA NA SHUGHULI ZA NYUMBANI
Mafanikio katika Fani:
Mafanikio katika fani ni nimebadili mazingira kutoka sehemu fulani hadi fulani yaani nimeDansi katika Makundi mengi na Mabadiliko nimeyapata
Year: