Picha ya Msanii Wakazi
Hii imekuja baada ya Afisa TEHAMA wa COSOTA, Segenge James kusema kuwa wasanii wa Tanzania watapata 70% na Serikali 30% kutokana na makusanyo ya mirabaha baada ya kazi zao kuchezwa kwenye TV, Radio na maeneo mengine yanayotumia muziki kuanzia Disemba 2021.
Sikiliza Interview Full hapa