Jumapili , 6th Feb , 2022

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema atakaa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammed Mchengerwa ili waongee uwezekano wa kutenga bajeti ya kununua VAR na nyasi bandia.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba

Mwigulu ameeleza hayo kupitia Ukurasa wake wa Instagram akitolea mfano wa nafasi aliyonyimwa mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele kufunga goli dhidi ya Mbeya City mwamuzi akidai ameotea.

Soma hapo chini