116
Kama kawaida ya wagombanao ndo wanao patana hawa ni marafiki na ni mtu na kaka yake lakini waliwahi kuletea sakatimbe la ajabu lakini kutokana na kauli isemayo kuwa Mtoto akinyea mkono haukatwi wala si utani kwani Chidi kalelewa na NIGA J kwa kipindi kirefu sana na kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu sana kabla ya mtoko wa chidi katika sanaaa.
Print
Comments
Next On:
EATV Shows