Pichani ni Rais Dkt Hussein Ali Mwinyi (kulia) akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othman Makungu (Kushoto).

2 Nov . 2020

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa.

2 Nov . 2020

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera.

1 Nov . 2020

Magufuli akipokea cheti cha ushidni kutoka kwa Jaji Semistocles Kaijage

1 Nov . 2020

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Liberatus Sabas.

31 Oct . 2020

Rais mteule wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

30 Oct . 2020

Kushoto ni Mbunge mteule wa jimbo la Ubungo Kitila Mkumbo na kulia ni aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA Boniface Jacob

30 Oct . 2020

Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, wa pili ni Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.

30 Oct . 2020

kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA, John Mrema na kulia ni Mbunge mteule wa jimbo la Segerea Bonnah Kamoli

30 Oct . 2020

Pichani ni Wabunge wateule, kushoto ni Mh. Jenista Mhagama (Peramiho), Mh. Ummy Mwalimu (Tanga Mjini), kulia ni Mh Dkt Philip Mpango (Buhigwe).

30 Oct . 2020

Aliyekuwa mbunge wa viti maalum na mgombea ubunge jimbo la Karatu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Cecilia Daniel Paresso

30 Oct . 2020

Msanii na aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga Wakazi Webiro Wasira

30 Oct . 2020

Msanii na Mbunge wa Jimbo la Muheza Mwana Fa

30 Oct . 2020

Aida Khenani, mbunge mteule wa jimbo la Nkasi Kaskazini kupitia CHADEMA.

30 Oct . 2020