Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania taifa stars wakipasha misuli kabla ya kuivaa Uganda Cranes.

4 Jul . 2015

Aliyewahi kuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania taifastars marehemu Silvester Marsh.

15 Mar . 2015

Kocha wa Taifa Stars Mart Nooij akiwa mazoezini na baadhi ya wachezaji wa taifa Stars

15 Mar . 2015

Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania [Taifa Stars]

10 Nov . 2014

Kikosi cha taifa stars kikiwa katika jezi ambazo zilizua utata kutokana na rangi ya jezi hizo kutoendana na rangi za bendera ya taifa

30 Oct . 2014

Kikosi cha timu ya taifa ya Benin kitakachoivaa taifa stars siku ya jumapili October 12 mwaka huu.

10 Oct . 2014

Rais wa shirikisho la soka barani Afrika CAF Issa Hayatou

7 Oct . 2014

Beki Said Nassoro 'cholo' wa Simba kushoto akichuana na kiungo Haruna Niyonzima wa Yanga kulia.

25 Sep . 2014

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania taifa stars

3 Aug . 2014

Kikosi cha taifa stars ambacho kesho kitaivaa Mambaz ya Msumbiji.

2 Aug . 2014

Kikosi cha stars muda mfupi kabla yakuivaa Msumbiji katika mchezo ulioishia kwa sare ya bao 2-2.

22 Jul . 2014