Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Jordan Rugimbana akiongea na baadhi wa viongozi wa serikali waliohudhuria tukio hilo la uwashwaji wa Mwenge

25 Jul . 2016

Serengeti Boys wakiwa katika moja ya mazoezi yao jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda Shelisheli.

2 Jul . 2016

Mfungaji wa bao la pili la Serengeti Boys, Ibrahim Abdallah akishangilia goli hilo.

26 Jun . 2016

Kocha Msaidizi wa (Serengeti Boys), Sebastian Nkoma na Mshauri wa Ufundi wa TFF kwa maendeleo ya timu za Vijana, Kim Poulsen wakisimamia mazoezi.

25 Jun . 2016

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe, Jenista Muhagama.

23 Jun . 2016

Mkuu wa Utumishi wa Benki ya Eximu Bw. Frederick Kanga

14 Jun . 2016

Moja ya viwanja vya mchezo wa Tenisi pamoja na vifaa vya mchezo huo.

11 Jun . 2016

Viongozi wa kamati ya ufundi ya Mbeya City wakionyeshana baadhi ya vijana waliokuja kusaka nafasi katika timu hiyo.

26 Mei . 2016

Viongozi wa benchi la ufundi la Serengeti Boys Bakari Shime kocha mkuu [kulia], na Kim Palsen [kushoto] wakiwa na kiongozi wa TFF Baraka Kizuguto ][katikati]

16 Mei . 2016

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenister Mhagama.

16 Mei . 2016

Timu za Taifa za Vijana za Tanzania na Marekani zikiwa kwenye Uwanja wa Tilak Maidan, Vasco, Goa India kabla ya kuanza kwa mchezo.

15 Mei . 2016

Viongozi na wanariadha wa Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

30 Apr . 2016

Kikosi cha timu ya taifa ya riadha ya Tanzania.

28 Apr . 2016

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana ya riadha chini ya miaka 20 ya Tanzania.

5 Apr . 2016

Wawakilishi wa Sunderland AFC, TFF na ACACIA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kusaini mkataba wa kukuza soka nchini.

31 Mar . 2016