Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo (katikati) akipokea taulo za kike. Kushoto ni Mtangazaji TBway na kulia ni Deogratius Kithama.
Baadhi ya wanafunzi na walimu mkoani Mbeya
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mh. Patrobas Katambi
Wanafunzi wa shule ya sekondari Selebo
Makabidhiano ya taulo za kike katika Shule ya Sekondari ya Tura
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Ikomwa iliyopo Manipsaa ya Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akipokea taulo za kike kwaajili ya wanafunzi wa shule ya sekondari Ndono.
Timu ya Namthamini ikiwa na Mbunge wa Hanang Mary Nagu (katikati) ofisini kwake Hanang.
Watangazaji na wafanyakazi wengine wa East Africa Television na East Africa Radio.