Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bei ya baiskeli za mitumba yapanda Dar es Salaam

Alhamisi , 17th Sep , 2020

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli zilizotumika (used) jijini Dar es Salaam wamesema bei ya jumla kwa baiskeli hizo imepanda kutoka shilingi elfu 40 Hadi kufikia shilingi 80(elfu themanini) kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa Covid 19.

Baadhi ya wauzaji wa baiskeli wakiziandaa kwaajili ya kuwauzia wateja

Waswahili wanasema linalowezekana leo lisingoje kesho msemo huu ukisemwa na moja ya wauzaji wa baiskeli hizo ambaye ameoneshwa kuumizwa na hali ya biashara hiyo ilivyo kwa sasa kwa kuwa mataifa mengi ambayo huzifuata bidhaa hizo mengi bado yanalia na janga la Covid 19.

"Kipindi cha nyuma ulikuwa unashusha kontena haraka tuu mzigo unachukuliwa lakini saizi hapa nyuma kidogo unapesa lakini huwezi kwenda nje kufata mzigo ndo maana moja kwa moja baiskeli zimepanda bei tofauti na ilivyokuwa "-Hamis Bones muuzaji wa baiskeli

Bw Hamisi amesema biashara hiyo imeajiri watu wengi wakiwemo mafundi ambao huzirekebisha mara baada ya mzigo kufika, vijana waoshaji huku wao wenyewe wakielezea namna biashara hiyo inavyochangia katika maisha yao ya kila siku.

"Yani kiukweli kabla ya hali ya maradhi ya Covid 19 mzigo ulikuwa unatoka sana na kiukweli kipato kilikuwa kizuri tofauti na sasa zaidi tunaganga tuu ivyo ivyo"alisema mmoja ya Mafundi baiskeli Pius Adolfu.

Aidha wametoa wito kwa vijana bado muda wote wamekuwa wakilalamika juu ya ukosefu wa ajira kuthubutu kufanya lolote Ili kuondokana na adha hiyo.
Huku wakiiomba serikali kutichoka kuweka mazingira rafiki kibiashara.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava