Afisa lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala Bw. Walbert Mgeni akifafanua kuhusu makundi mbalimbali ya vyakula na namna yanavyotakiwa kutumiaka.
Takribani watoto 27, wamezaliwa katika Hospitali tatu za rufaa za mkoa wa Dar es Salaam
Utaratibu wa kutoa zawadi zinazoweza kuacha alama kwa wanawazawadia ili waendelee kuwakumbuka kwa ukarimu waliouonesha kwao.
Mch. Dr Eliona Kimaro, Mchungaji Kanisa la KKKT Usharika Wa Kijitonyama Dar es Salaam akihubiri wakati wa ibada ya Krismasi.
Said Lugumi akiongea na waandishi wa habari alipo waalika watoto yatima.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi George Katabazi,
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP Jumanne Muliro, na kulia ni Daisle Simion Ulomi
Prof.Mohamed Janabi, Mkurugenzi Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais waswala ya Afya na Tiba
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akiwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Nathan Belete
Mkurugenzi wa Idara ya habari maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Thobias Makoba
Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam