Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Brazil kuwekeza kiwanda cha dawa nchini.

Jumanne , 4th Oct , 2022

Serikali imepokea ujumbe wa wakekezaji kutoka nchini Brazil ambao ni wazalishaji wakubwa duniani katika sekta ya dawa kwenye sekta za afya,uvuvi na mifugo ujumbe ambao umewasili nchini ukiletwa na Balozi wa Tanzania nchini Brazil Adeladus Kilangi.

Balozi wa Tanzania nchini Brazil Adeladus Kilangi.

Kwa mujibu wa Balozi Kilangi wawekezaji hao kutoka Brazil katika kikao cha pamoja na watendaji kutoka taasisi za serikali wameonesha nia ya kujenga kiwanda cha dawa,kuzalisha na kuleta dawa kwenye sekta hizo za afya ,uvuvi na mifugo.huku mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho kutoka brazil akieleza nia ya uwekezaji wao nchini.

“Nikiwa nchini Brazili kazi yangu ni kuitangaza Tanzania kusema na wawekezaji wenye nia ya kuja kufanya uwekezajim kwetu sera zetu ni nzuri na hawa jamaa ni kati ya wewekezaji wakubwa kwenye dawa”-alisema balozi Kilangi

Hata hivyo kwa upande wake mfamasia mkuu wa serikali katika kikao hicho amekiri ukubwa wa wawekezaji hao ambao ni wakubwa katika bara loa america kusini akibainisha kuwa endapo watajenga kiwanda ama kuongeza nguvu kwenye kiwanda cha serikali cha keko itarahisisha huduma na upatikanaji wa dawa nchini.

Kikao hicho kati ya wawekezaji watendaji kutoka taasisi za serikali kimelenga kuwaonesha fursa ikiwa ndiyo azma ya serikali kutangaza sera za uwekezaji nje ya mipaka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto