Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Coca Cola Kwanza yawaleta karibu wadau na wateja

Ijumaa , 24th Mei , 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza Basil Gadzios, amesema kampuni hiyo itaendelea kukutana na kuwa karibu na wateja wake kupitia hafla mbalimbali wanazoziandaa.

Wadau mbalimbali wakipata chakula cha jioni (Futari) kilichoandaliwa na Coca Cola Kwanza.

Hayo ameyasema leo Mei 24, 2019, kwenye hafla ya chakula cha jioni wakati huu wa mfungo wa Ramadhani (Futari), iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam.

''Tumejumuika hapa kwenye chakula cha jioni ikiwa ni sehemu tu ya kampuni yetu kuwakumbuka wateja wetu wakati huu wa mfungo na huu ni mwanzo tu, tutaendelea kufanya hivi kwa makundi yote'', - amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Coca Cola Kwanza, Haji Mzee Ally, amesema wamejisikia vizuri kupata baraka za Ramadhani kwa kuandaa futari hiyo kwaajili ya waislam na wadau wao kwa ujumla.

Hafla hiyo imehudhuriwa na wadau kutoka vyombo tofauti vya habari, pamoja na wateja mbalimbali wa vinywaji vinavyotengenezwa na kampuni hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi

Wasimamizi wa uchaguzi waongezwe posho - Katambi