Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu siku ambayo magari yataanza kukaguliwa

Jumanne , 26th Jan , 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe, amesema kuwa zoezi la ukaguzi wa magari yanayotoka nje ya nchi litaanza kutekelezwa mara moja ifikapo Machi 1, 2021, huku lengo likiwa ni kuhakikisha bidhaa zote zinazoingizwa nchini zina ubora unaohitajika.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe

Kauli hiyo ameitoa hii leo Januari 26, 2021, wakati akitoa onyo kwa mawakala wakubwa wa mafuta ya kula nchini, kuacha kupandisha bei ya bidhaa hiyo kinyume na bei ambayo ni ya kawaida walioagizia kutoka nje ya nchi na ile ya viwandani.

Na kuongeza kuwa hivi karibuni Shirika la Viwango nchini (TBS), lilitangaza kuwa litaanza ukaguzi wa magari yote yanayoingizwa nchini kutoka nje ya nchi na yale yatakayobainika kutokuwa na ubora hayatoruhusiwa kuingia.

Aidha mbali na hayo Waziri Mwambe, ameongeza kuwa kwa sasa changamoto ya mafuta nchini imepungua kwani mafuta yapo yakutosha baada ya kuwasili kwa Meli mbili ndani ya kipindi cha mwezi mmoja ambazo zimeshusha mafuta takribani Tani 48,000 na uhitaji ukiwa ni mafuta Tani 30,000 kwa mwezi, huku akisema changamoto itakayoendelea kwa muda mfupi ni ongezeko la bei kwani mafuta yanayowasili tayari waagizaji walishaagiza kwa bei hii ambayo imepanda Duniani kote.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine