Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hizi ndio sifa za Mwekezaji anayetakiwa Tanzania

Alhamisi , 22nd Apr , 2021

Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) imesema kufuatia uwekezaji uliofanywa katika mradi wa Mlimani City unaosimamiwa na mwekezaji Mlimani Holdings Limited kusaidia katika kupatikana kwa ajira zaidi ya elfu mbili na kodi za serikali inatarajia kufungua miradi kama hiyo Dodoma na Arusha.

Muonekano wa Jengo la Ofisi za Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Kauli hiyo imetolewa hii leo mara baada ya ujumbe wa wataalamu kutoka Kutoka Kituo Cha Uwekezaji TIC waliotembelea kwa mwekezaji huyo ili kutazama changamoto alizopitia mara baada ya Covid-19 na changamoto zingine ili kuzipatia ufumbuzi.

Amesema serikali inaendeleza kuweka mazingira kwa kasi ikiwataka wawekezaji wa ndani na nje kuzidi kujitokeza kwa kuwa nchi ya Tanzania ina mazingira tulivu ya kisiasa.

"Tunatarajia Uwekezaji kama huu kufanywa katika Jiji la Dodoma utasaidia ajira na kodi kwa Serikali  sisi kama serikali TIC tunazidi kuwakaribisha wawekezaji wa ndani na nje", amesema Bevin Ngize.

Kwa upande wa mwekezaji huyo amesema Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuwatambua wawekezaji kuwasaidia akibainisha wako tayari kuendesha miradi hiyo popote hapa nchini kwa kibali cha serikali.

"Mradi huu tangu mwaka 2004 umeanza Hapa kuna biashara za aina zote kumbi za mikutano na mazingira haya ambayo serikali yametupa nafuu sisi kama wawekezaji", amesema Mroso.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava