Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jackpot Mpya na Kabambe kutoka Parimatch

Jumanne , 11th Aug , 2020

Kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Parimatch Tanzania imezindua mchezo mpya wa Jackpot ambao utawapa fursa wateja wa kampuni hiyo, kujinyakulia kitita kikubwa cha fedha cha Shillingi Milioni 10 za Kitanzania zitakazokuwa zinatolewa kila wiki.

Jackpot hiyo iliyozinduliwa na Mkurugenzi wa Utawala na Udhibiti wa Parimatch Tanzania, Tumaini Maligana amesema kwamba utakuwa mchezo wa kwanza wa Jackpot wenye idadi ndogo ya michezo ya kubashiri nchini na dau dogo zaidi.

Akizungumza na waandishi wa habari, Maligana amesema kuwa dau la Jackpot hiyo itakuwa ni Shilingi 100 na itakayohusisha mechi 10 za ligi mbalimbali kubwa, ambapo mshindi atapatikana mara baada ya mechi husika kumalizika zilizokuwa zikibashiriwa katika Jackpot hiyo.

“Wateja watatakiwa kubashiri mechi 10 zitakazokuwa zimeorodheshwa kwenye tovuti yetu upande wa Jackpot au wanaweza kuzipata kwa kubonyeza kiunga hiki https://pma.bet/jackpot  na watafanikiwa kushinda kitita hicho cha Milioni 10 na kubwa zaidi ni kwamba kwa mkeka huo huo mteja anaweza kufanya ‘multi selection’ yaani kuchagua matokeo zaidi ya moja kwa mechi moja. La muhimu pia ni kwamba mechi hizi 10 ni za timu pendwa na za ligi kubwa duniani hivyo uchaguzi utakuwa rahisi zaidi”, amesema Maligana

Aidha, Mkurugenzi huyo Muendeshaji wa Parimatch Bwana Maligana amesisitiza kuwa lengo la kuanzisha Jackpot hiyo ni kutaka kukuza burudani ya soka kwa wateja wa Parimatch ili kusudi wapate fursa ya kushinda kitita kikubwa cha fedha kwa kutoa hela kidogo.

Kwa upande mwingine, Parimatch imekuwa mkombozi mkubwa kwenye soko la michezo ya kubahatisha ndani ya nchini kwa kuweza kutoa michezo na masoko yenye ubora na faida maradufu, malipo kwa haraka baada tu ya mchezo kuisha, huduma ya wateja bora ndani ya masaa 24 siku 7.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto